Dodoma Baadhi ya Wananchi kutoka maeneo mbalimbali mkoani Dodoma wamesema mwaka 2021 umekuwa na changamoto mbalimbali ikiwemo kupanda kwa bei za bidhaa hali ambayo imesababisha ukali wa maisha huku wakisema hawatausahau mwaka huo kutokana na kuondokewa na kiongozi mkubwa wa nchi,Hayati John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania huku wakielezea matumaini yao ya kuupokea mwaka
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed